Job 2:10
10 aAkamjibu, “Unazungumza kama vile ambavyo mwanamke mpumbavu ▼▼ Mpumbavu hapa ina maana ya kupungukiwa maadili.
yeyote angenena. Je, tupokee mema mikononi mwa Mungu, nasi tusipokee na udhia?” Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake. Marafiki Watatu Wa Ayubu
Copyright information for
SwhKC